Friday, November 30, 2018

LUSINDE VITI MAALUM HAKUNA KAMA DITOPILE

Mbunge wa Mtera ndg Livingston Lusinde amesema mbunge Ditopile ndio mbunge wa kwanza wa viti maalum Mkoa wa Dodoma kufanya jambo kubwa kama hili la ugawaji wa pembejeo na mbegu bora za alizeti kwa Mkoa wa Dodoma, Hongera sana mbunge.

No comments:

Post a Comment