Friday, November 30, 2018

Dr TULIA AMFAGILIA MBUNGE DITOPILE

Naibu spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Tulia Acson amempongeza mbunge Ditopile kwa jitihada zake anayoendelea kuzitoa mara kwa mara kwa chama na jumuia zake hii Ilikuwa leo ktk uzinduzi wa ugawaji wa pembejeo na mbegu bora za alizeti kwa wakulima wa Mkoa wa Dodoma

No comments:

Post a Comment